Na mwandishi Bosco Kayombo
Msanii wa Muziki  nchini Nigeria anait
wa Burnaboy  aliyeshilikishwa nyimbo na Msanii Harmonize toka nchini Tanza
nia inayoitwa Kainama.
Msanii huyo Burnaboy ameshinda katik
a kipengele cha Best Africa Act 2019 iliy
ofanyika Novemba 3,2019 nchini Londo
n.
Kwenye Tuzo hizo zilikuwa mastaa  na ambao wamefanya vizuri mwaka wakiwemo.
 nasty-csa, tenientertainer, Haromize-T
z, toofanofficel pamoja na prince maybe
e-sa