Na mwandishi Bosco Kayombo
Msanii wa Muziki nchini Nigeria anait
wa Burnaboy aliyeshilikishwa nyimbo na Msanii Harmonize toka nchini Tanza
nia inayoitwa Kainama.
Msanii huyo Burnaboy ameshinda katik
a kipengele cha Best Africa Act 2019 iliy
ofanyika Novemba 3,2019 nchini Londo
n.
Kwenye Tuzo hizo zilikuwa mastaa na ambao wamefanya vizuri mwaka wakiwemo.
nasty-csa, tenientertainer, Haromize-T
z, toofanofficel pamoja na prince maybe
e-sa


0 Comments